Kutoka Mahakamni..Ombi la Serikali la Kutaka Lissu Anyimwe Dhamana Latupwa,Lissu Akipewa Dhamana ya Milioni 20

                                 

Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashtaka manne ya uchochezi.

Wakili wa Serikali Kishenyi Mutalemwa  aliwasilisha maombi ya kupinga dhamana yaTundu Lissu kwa madai kwamba   amekuwa na mwenendo unaohatarisha amani si tu kwa wanajamii, bali hata kwake mwenyewe kwa kuendelea kutoa maneno ya uchochezi.


Hakimu Huruma Shaidi, ametupilia mbali ombi hilo la serikali na kumpa  Tundu Lissu dhamana ya sh. Milioni 20
Kutoka Mahakamni..Ombi la Serikali la Kutaka Lissu Anyimwe Dhamana Latupwa,Lissu Akipewa Dhamana ya Milioni 20 Kutoka Mahakamni..Ombi la Serikali la Kutaka Lissu Anyimwe Dhamana Latupwa,Lissu Akipewa Dhamana ya Milioni 20 Reviewed by Unknown on 7:22 PM Rating: 5

No comments